1 Corinthians 5:4-5

4 aMnapokutana katika Jina la Bwana wetu Isa nami nikiwepo pamoja nanyi katika roho na uweza wa Bwana Isa ukiwepo, 5 bmkabidhini mtu huyu kwa Shetani, ili mwili wake uharibiwe, ili roho yake iokolewe katika siku ya Bwana.

Copyright information for SwhKC